photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > TAMKO LA TANESCO KWA UMEME KUKATIKA BAADHI YA SEHEMU DAR

TAMKO LA TANESCO KWA UMEME KUKATIKA BAADHI YA SEHEMU DAR

Posted on Jul 24, 2012 | No Comments



Shirika la Tanesco kupitia Afisa Mawasiliano Wake Ame Toa tarifaa juu ya umeme kukatika badhi ya maeneo jijini Dar es Salaam jana Usiku Kwa masaa kadha.Umeme ulikataka jana kutonkana na mafundi wa Tanesco kubadili Transformer yenye uwezo mdogo na kuweka yenye uwezo mkubwa baada ya kumaliza kwa matengenezo hayo umeme ulirudi saa Tatu usiku na kukatika tena saa 6 usiku ,Tanesco imesema mafund wao wako kazini leo hii kushugulikia tattizo hilo ambalo wana dhani lita malizika saa kumi jioni

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru