photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > PPRA YASIMAMISHA MAKAMPUNI 34

PPRA YASIMAMISHA MAKAMPUNI 34

Posted on Jun 22, 2012 | No Comments

Mkurugenzi Mtendaji wa (PPRA) Dr. Ramadhan Mlinga akiongea na waandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dar es salaam juu ya kufungiwa kwa makampuni 34 kutoshiriki kwenye zabuni za Taasisi kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia leo, baada ya kushindwa kutekeleza mikataba yao na Tasisi husika na hivyo kusimamishwa kutekeleza mikataba hiyo.
Mwandishi wa habari wa Times Fm Bw. Adam Hussein(kulia) akimuuliza swali Mkurugenzi Mtendaji wa (PPRA)Dr. Ramadhan Mlinga katika mkutano huo.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru