photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > PEPSI YAWAMEZEA MATE CAMP MULLA

PEPSI YAWAMEZEA MATE CAMP MULLA

Posted on Aug 4, 2012 | No Comments


Kampuni ya SBC Kenya Limited imedaiwa kuwamezea mate Camp Mulla ili wame sura za kinywaji cha Pepsi.
Kama ikiwachukua itakuwa na uhakika wa kampeni yake kuwafikia vijana wengi wa Kenya ambao wanalizimia kundi hilo.
Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Star kuwa Pepsi wanalitaka soko la vijana na  Camp Mulla wako juu sana sasa hivi hivyo hiyo itakuwa ni rahisi kwa kinywaji hicho kuongeza umaarufu kupitia wao.
Camp Mulla linaundwa na vijana watano, Taio Tripper - Matthew Wakhungu, Shappa Man - Benoit Kanema, Miss Karun - Karungari Mungai, K'Cous - Marcus Kibukosya na mwanzilishi Mykie Tuchi - Michael Mutooni.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru