YANGA 2-0 SIMBA; HIVI NDIVYO LIGI KUU YA TANZANIA.ILIVYOMALIZIKA..
Posted on
May 18, 2013
|
No Comments
Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub 'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake. Yanga leo imeifunga Simba 2-0
