photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> MISS GEITA KUPATIKANA JUMAMOSI HII

MISS GEITA KUPATIKANA JUMAMOSI HII

Posted on May 31, 2012 | No Comments




Warembo wanaowania taji la Miss Geita 2012 wakiwa katika pozi tayari kwa fainali ya Jumamosi.



MREMBO wa Redds Miss Geita anatarajia kupatikana Jumamosi ya Juni 2 mwaka huu, katika shindano litakalofanyika mjini humo kwenye ukumbi wa Ambasador.
Mashindano hayo ya urembo yatashirkisha warembo 12 kutoka katika wilaya zote za mkoa huo mpya wa Geita ambazo ni Bukombe, Geita, Chato, Mbogwe na Nyang'wale katika shindano litakalosindikizwa na muziki wa kukata na shoka.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru