photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> Mwenge wa Uhuru waendelea kukimbizwa mkoani Ruvuma.

Mwenge wa Uhuru waendelea kukimbizwa mkoani Ruvuma.

Posted on May 31, 2012 | No Comments

Katibu tawala ya wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, Iddi Mponda akimkabidhi mwenge wa uhuru kwa katibu tawala mkoa wa Songea, Joseph Kapinga mara baadaya ya kumalizika kwa mbio hizo wilayani mbinga.

Meja Mpuku akipokea mwenge wa Uhuru Mpakani mwa wilaya ya mbinga na Songea katika kijiji cha Liganga.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru