RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA IRAN NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU DAR ES SALAAM
                              Posted on 
                              May 30, 2012
                            |
                            
                                  No Comments
                                  

 Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Mh   Muhammad Reza Rahimi Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012.   Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Mh   Muhammad Reza Rahimi Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012.   Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi

Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe  Ikulu jijini Dar es salaam leo   May 30, 2012 kutoka serikali ya Burundi alioletewa na Mh Martin   Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. 
 Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na  Makamu wa Kwanza wa Rais wa   Iran Mh Muhammad Reza Rahimi Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30,   2012. Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi

Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran Mh   Muhammad Reza Rahimi Ikulu jijini Dar es salaam leo May 30, 2012.   Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi

 Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe  Ikulu jijini Dar es salaam leo   May 30, 2012 kutoka serikali ya Burundi alioletewa na Mh Martin   Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. 

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Ikulu jijini Dar es salaam leo May   30, 2012 Mjumbe maalumu kutoka serikali ya Burundi, Mh Martin   Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo. Kati ni   Balozi wa Burundi nchini Tanzania

Rais   Jakaya Mrisho Kikwete akisoma ujumbe alioupokea  Ikulu jijini Dar es   salaam leo May 30, 2012 toka kwa Mjumbe maalumu kutoka serikali ya   Burundi, Mh Martin Nivyabandi, ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa   nchi hiyo. shoto  ni Balozi wa Burundi nchini Tanzania.Picha na IKULU
 
 
 
 
 
 
 
 
