photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> Wabunge wa Chadema Waangwa rasmi kwa kuangalia mechi ya kimataifa

Wabunge wa Chadema Waangwa rasmi kwa kuangalia mechi ya kimataifa

Posted on May 31, 2012 | No Comments


Wabunge wa chama cha Chadema wakipata flash ya pamoja na warembo wa Kibrazil ndaniya uwanja wa FedexField, uliopo Landover Maryland Nchini marekani. 

Picha ya pamoja na viongozi wa juu wa Chadema kwenye mpambano wa US na Brazil Usiku wa kuamkia leo  Alhamis Mei 31,2012 ndani ya ndani ya uwanja wa Fedex, uliopo Landover Maryland Nchini marekani

Nabendera ya Taifa wakishangilia Bao la  kwanza la Brazil lilifungwa kwa Penalti na mchezaji Neymar

Landon Donovan
Forward wa United States Landon Donovan, akipandisha majeshi juu huku alidhibitiwa na Brazil defender Marcelo wa Brazi katika mpambano wa kirafiki
.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru