photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> ZUKU YAFANYA HAFLA YA KUTANGAZA UDHAMINI WA TAMASHA LA ZIFF

ZUKU YAFANYA HAFLA YA KUTANGAZA UDHAMINI WA TAMASHA LA ZIFF

Posted on May 31, 2012 | No Comments


Mwenyekiti wa kampuni ya  Wananchi Group kampuni inayosambaza vin'gamuzi vya televisheni ya Zuku Afrika hapa nchini Bw. Ali Mufuruki akizungumza katika hafla ya kutangaza kampuni hiyo ya Zuku Kudhamini tamasha la kimataifa la  Zanzibar International Film Festivala (ZIFF) katika hafla iliyofanyika jana kwenye ufukwe wa Slipway jijini Dar  es salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa tamasha la ZIFF wakiwemo wanamuziki, waigizaji wadhamini na wengeni wengi.
  
 Kutoka kulia ni Jacob Steven. Raymond Kigosi na Cloud waigizaji wa filamu za Bongomovie wakiwa katika hafla hiyo..
 Mchekeshaji Steve Nyerere kulia akiwa na wadau kutoka kampuni ya kusambaza filamu ya Steps Entertainment.
 Mwigizaji Jaquiline Walper kushoto akiwa na waigizaji wengine katika hafla hiyo wa tatu kutoka kulia ni mchezaji wa timu ya Simba Uhuru Selemani.
 Mwigizaji Aunt Ezekiel kushoto akiwa na waigizaji wenzake.
 
Mwenyekiti wa ZIFF Bw. Mahmoud Thabit Kombo akiwatambulisha waigizaji pamoja na wasanii mbalimbali katika hafla hiyo jana

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru