photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> Ajali mbaya yasababisha vifo vya watu wawili na majeruhi, Arusha...

Ajali mbaya yasababisha vifo vya watu wawili na majeruhi, Arusha...

Posted on Jun 11, 2012 | No Comments

Inaaminika kulikuwa na vijana wanne katika gari hii, ambao ni Faraja haule, denis ngalesoni, saimon makoi na victor jungle. habari zilizotufikia ni kati ya hao vijana wawili walifariki dunia na wengine wako hospital, tutawahabarisha pindi tutakapopata habari kamili. Poleni ndugu jamaa na marafiki..

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru