Breaking News..
Posted on
Jun 9, 2012
|
No Comments
Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe...Mzee Bob Makani amefariki.
R.I.P Bob Makani
Source: Kutoka kwa ndugu zake.