Mali za Kanumba zagawanywa..
Posted on
Jun 6, 2012
|
No Comments
HUKU sakata la mirathi ya marehemu Steven Charles Kanumba aliyekuwa gwiji wa filamu Bongo, likiendelea kufukuta chini kwa chini, baba mzazi mzee Charles Kusekwa Kanumba amegawanya mali za mwanaye, Risasi Mchanganyiko linakufunulia.
Mali za marehemu Kanumba zinazotajwa katika mgawo huo ni pamoja na kampuni yake iitwayo Kanumba The Great Film Company na magari.
Mali za marehemu Kanumba zinazotajwa katika mgawo huo ni pamoja na kampuni yake iitwayo Kanumba The Great Film Company na magari.
HABARI KAMILI


