photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> MSANII WA FILAMU ELIZABETH MICHAEL (LULU)ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI

MSANII WA FILAMU ELIZABETH MICHAEL (LULU)ALIPOFIKISHWA MAHAKAMANI

Posted on Jun 26, 2012 | No Comments

 Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael (Lulu) akipanda basi la Magereza huku akijaribu kukwepa kamera za waandishi wa habari jana mara baada ya kutoka kusikiliza kesi ya kudaiwa  kuuwa inayomkabili kwenye Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam baada ya kesi hiyo kuhairishwa hadi 9.7.2012. 
Lulu akielekea kupanda kwenye basi  tayari kuelekea magereza katika mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru