Nape ndani ya Songea Jana..
Posted on
Jun 3, 2012
|
No Comments
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akaanza shughuli za chama mara baada yakupokelewa katika Kata ya Tanga, wilayani Songea ambako yalifanywa mapokezi yake.
Nape akizindua mradi mabanda 119 ya biashara eneo la Mshengano,Songea. Vibanda hivyo vya CCM vimejengwa na CCM kwa sh. milioni 206
Msafara wa pikipiki ukiongoza msafara wa Nape kwenda Uwanja wa Maji Maji
. Nape akisisitiza jambo wakati akihutubia katika Uwanja wa Maji Maji
Nape akisalimia wananchi alipowasili Uwanja wa Maji Maji Songe kuhutubia mkutano wa hadhara
Nape akipita kwenye kanga zilizotandikwa na kina mama waliovutiwa na hotuba yake





