photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> Taifa stars 2-1 Gambia..

Taifa stars 2-1 Gambia..

Posted on Jun 10, 2012 | No Comments

Kikosi cha timu ya Gambia kikiwa katika picha ya pamoja.
Kikosi cha timu ya Taifa Stars kikiwa katika picha ya pamoja.
Mchezaji wa timu ya taifa Taifa Stars Mrisho Ngasa akichuana vikali na mchezaji wa timu ya Gambia The Scorpions wakati timu hizo zikichuana katika mchezo wa kuwania kufuzu kushiriki fainali za kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Brazil, mchezo huo unafanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, hivi sasa mpira umekwisha Taifa Stars ikiifunga  Gambia magoli 2-1  na kujipatia pointi zake tatu za mwanzo, Magoli yamefungwa na wachezaji  Shomari Kapombe Waziri Salum aliyefunga kwa njia ya penati baada ya mabeki wa timu ya Gambia kuunawa mpira katika eneo la hatari.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru