photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> | > CHAMA CHA WANANCHI (CUF) CHAITAKA SERIKALI KUTOA MAFUNZO YA KISASA KWA VYOMBO VYA UOKOAJI.

CHAMA CHA WANANCHI (CUF) CHAITAKA SERIKALI KUTOA MAFUNZO YA KISASA KWA VYOMBO VYA UOKOAJI.

Posted on Jul 23, 2012 | No Comments



Mwenyekiti wa TAIFA wa Chama Cha Wananchi –CUF Profesa Ibrahim Lipumba akizungumza kwa niaba ya chama hicho ambapo pamoja na mengine amesema nchi yetu ina mapungufu makubwa sana katika kitengo cha uokoaji, kwa kuwa kitengo hicho hakina zana na vyombo vya kisasa vinavyokwenda na wakati.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru