photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> KUTOKA VIWANJA VYA SABASABA..

KUTOKA VIWANJA VYA SABASABA..

Posted on Jul 4, 2012 | No Comments

BANDA LA VETA NDANI YA SABASABA..

Mwanafunzi wa VETA Bw. Onesmo Mrisho akiwapa maelezo baadhi ya washiriki waliotembelea kujionea shughuli mbalimbali zitolewazo na chuo hicho akiwaelimisha juu ya stata ya kuwashia moto kwenye mkaa au kuni badala ya kutumia mafuta ya taa au karatasi na pia railoni ambazo zinaathili kiafya.

Hili ndilo banda la VETA la maonyesho ya bishara ya kimataifa saba saba liloko katika viwanja vya mwalimu JK Nyerere. Dar es Salaam,
Mwanafunzi  wa VETA Bw. Salum Machapati akiwaelezea baadhi ya washirika waliohudhuria katika banda la maonesho ya sabasaba ya chuo hicho juu ya matumizi ya kitanda cha kisasa ambacho kinatumika katika hali ya hewa yoyote ambacho kinaundwa kwa kutumia mbao, udongo pamoja na mkaa.
Baadhi ya wananchi wakiangalia pampu katika banda la VETA kwenye maonesho ya sabasaba pampu hiyo iliyotengenezwa kwa chuma na inamfumo wa kuvuta maji yenye dawa ambayo yanarahisisha katika kuogesha wanyama.

SALAMA JAY, MADAM RITA NA MASTER JAY WATEMBELEA BANDA LA ZANTEL SABASABA

Jaji mkuu wa EBSS Rita Poulsen na Salama Jay wakiwa na wafanyakazi wa banda la Zantel kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara ya SabaSaba.

Salama J na mshabiki wake.

Epic Bongo Group hiyo

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru