RUGWE WACHOMA OFISI NA KUFUNGA BARABARA KWA KUTOKUONA FAIDA YAKE.
Posted on
Jul 2, 2012
|
No Comments
Wakazi wa Ndaga wilayani Rugwe wamefunga barabara ya Mbeya-Rungwe na geti la ushuru wa mazao kwa saa nne, na kuchoma ofisi husika kwa madai hawaioni faida ya kuwepo geti hilo kwani limejaa rushwa tupu na unyanyasaji wa Wakulima.
