Nahodha wa Hispania, Iker Casillas akiwa ameinua kombe la Euro 2012 wakati akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kutwaa kombe hilo kwa kuwafunga Italia bao 4-0 kwenye fainali iliyopigwa katika uwanja wa Olympic mjini Kiev, Ukraine leo. (Picha kwa hisani ya Getty Images)