TASWIRA YA MGOMO WA WALIMU MIKOANI..
Posted on
Jul 31, 2012
|
No Comments
![]() |
Shule ya Msingi Gongoni mkoani Tabora yenye walimu 30 ambapo kutokana na mgomo wa walimu ni walimu watatu tu wameripoti kazini leo. Picha Na Mashashi Edwin wa HakiElimu |
![]() |
Moja ya darasa la Msingi katika shule ya msingi Isike- Tabora likiwa tupu baada ya wanafunzi wote kuruhusiwa kwenda nyumbani kutokana na mgomo wa walimu ambao umeanza leo. |