WEMA VS JACK HAKUNA MBABE
Posted on
Jul 7, 2012
|
No Comments
| Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao |
| Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana |
| Mabondia ambano ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wakati wa Tamasha la Matumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa taifa |
| Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droO! |
| Baada ya pambano walionyesha upendo kimichezo tunasema fair play.. |
