photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > BALOZI MAHALU ASHINDA KESI ILIYOKUWA IKIMKABILI KATIKA MAHAKAMA YA KISUTU

BALOZI MAHALU ASHINDA KESI ILIYOKUWA IKIMKABILI KATIKA MAHAKAMA YA KISUTU

Posted on Aug 9, 2012 | No Comments

Balozi Profesa Mahalu akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kushinda kesi yake katika mahakama ya kisutu leo.
Wakili wa Balozi Profesa Mahalu Bw. Alex Mgongolwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mteja wake kushinda kesili iliyokuwa ikimkabili kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es salaam.
Balozi Profesa Mahalu katikati akitoka nje ya mahaka ya Kisutu huku akiwa ameongozana na mdogo wake Mirasi Rama kulia ni Wakili wa kujitegemea Mabere Nyaucho Marando.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru