photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KWANINI WAJUMBE WA NYUMBA 10 WASINGETUMIKA KATIKA SENSA

KWANINI WAJUMBE WA NYUMBA 10 WASINGETUMIKA KATIKA SENSA

Posted on Aug 27, 2012 | No Comments


Nahisi ni ubadhilifu 2 wa fedha za umma.
 Kwanini hawa wajumbe wa nyumba 10 kushirikiana na serikali za mitaa kufanya kazi ya sensa kwa kuwa wako karibu zaidi na wananchi wa mtaa wao zaidi kuliko kupoteza mamilioni ya kodi.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru