MAHAKAMA YATENGUA MGOMO WA WALIMU.
Posted on
Aug 2, 2012
|
No Comments

Mahakama leo imetengua mgomo wa walimu uliokuwa ukiendelea nchi kwa madai kwamba mgomo siyo halali
mahakama pia imeiamuru CWT kuwalipa fidia wanafunzi walioathirika na mgomo wa walimu
