photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > WANAFUNZI 3074 WALIOOMBA MIKOPO WAENGULIWA NA BODI YA MIKOPO-TCU.

WANAFUNZI 3074 WALIOOMBA MIKOPO WAENGULIWA NA BODI YA MIKOPO-TCU.

Posted on Aug 14, 2012 | 7 Comments

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo,  George Nyatogo.

BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini pamoja na Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imewaengua zaidi ya wanafunzi 3074 walioomba vyuo na mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka 2012/13.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi hizo kupitia mitandao yao (website) Agosti 10 na 12, 2012 zaidi ya wanafunzi 3074 wameenguliwa katika maombi yao kwa kuwa na dosari mbalimbali.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) pekee imeorodhesha zaidi ya wanafunzi 2,649 ambao imebaini kuwa na mapungufu kadhaa katika maombi yao ya kupewa mikopo ya vyuo.
Miongoni mwa makosa ama dosari ambazo bodi imezibaini kwa walioenguliwa kwa sasa ni pamoja kukosekana kwa vyeti vya kuzaliwa kwa muombaji, sahihi ya mdhamini/muombaji, kukosekana kwa picha ndogo ya muombaji/mdhamini, kukosekana kwa sahihi za viongozi wa Serikali za mitaa/vijiji kwa waombaji na nyaraka nyingine muhimu kwa waombaji.
Kwa upande wake TCU imewaengua jumla ya waombaji 425 kwa dosari na makosa mbalimbali, ambayo imeyabainisha katika taarifa yake.
Miongoni mwa dosari ambazo zimetajwa na TCU kwa wanafunzi hao ni pamoja na baadhi yao kukosea namba za vyeti vya masomo kwa vidato vya nne na tano (O’ level na A’ level Index number), miaka ya kumaliza masomo (year of completion), mawasiliano sahihi kwa muombaji (Contact information e.g. Mobile phone number, email address and postal address) pamoja na uchaguzi wa masomo (Programme selected).
Waweza kuingia katika linki hii hapo chini na kuona majina ya waliobainika kuwa na dosari anuai katika maombi yao kwa TCUhttp://www.tcu.go.tz/uploads/file/LIST%20OF%20APPLICANTS%20FOR%202012-2013%20ADMISSIONS%20WITH%20MISSING%20INFORMATION.pdf
Hata hivyo taasisi hizo mbili zimetoa muda kwa walioenguliwa sasa kutokana na dosari hizo kurekebisha na kutuma tena maombi yao kupitia mitandao kwa mujibu wa maelekezo waliyotoa. Kwa taarifa zaidi pia waweza kutembelea mitandao ya  www.heslb.go.tz na www.tcu.go.tz

Comments: 7

  1. I simply couldn't depart your website prior to suggesting that I actually loved the usual information a person supply for your guests? Is gonna be again continuously to check up on new posts

    Also visit my web site - vertical leap exercises

    ReplyDelete
  2. Great information. Lucky me I found your website by accident (stumbleupon).
    I've book-marked it for later!

    Feel free to visit my webpage exercises to improve vertical jump

    ReplyDelete
  3. magnificent issues altogether, you just gained a new reader.
    What may you suggest in regards to your publish that you just
    made some days in the past? Any certain?

    My web-site dunk a basketball

    ReplyDelete
  4. I like what you guys are usually up too. Such clever work and reporting!
    Keep up the great works guys I've incorporated you guys to our blogroll.

    Also visit my website :: workouts To increase Vertical

    ReplyDelete
  5. whoah this blog is magnificent i love reading your posts. Keep up the good work!
    You know, a lot of people are looking round for this info,
    you can aid them greatly.

    Here is my weblog :: workouts to increase vertical

    ReplyDelete
  6. I got this site from my pal who informed me on the topic of this site
    and now this time I am browsing this website and reading
    very informative articles or reviews at this place.

    Feel free to visit my site - http://www.pengchat.com/NelleHMI

    ReplyDelete
  7. Great article! We are linking to this great article on our website.
    Keep up the great writing.

    Feel free to visit my homepage ... http://Minnath.Bugs3.com/mob33/groups/several-good-suggestions-to-use-to-increase-your-ability-to-jump

    ReplyDelete