HII NDIO IDADI KAMILI YA WANAJESHI WA MAREKANI WALIOUWAWA AFGHANISTAN MPAKA SASA.
Posted on
Sep 30, 2012
|
No Comments

Marekani imethibitisha kwamba
wanajeshi wake elfu mbili (2000) wameuwawa toka vita ya Afghanistan ianze
ambapo idadi hiyo imeongezeka kwenye miezi ya karibuni katika
mashambulio kadhaa.
Ni vifo ambavyo vimeleta maswali kwamba kuna uwezekano Marekani ikaisaidia Afghanistan kuondokana na tatizo?
Mara ya mwisho kwa wanajeshi wa
Marekani kushambuliwa nchini Afghanistan ilikua jana september 29
ambapo mwanajeshi mmoja aliuwawa.