photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > PROFESA MUHONGO AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI TPDC

PROFESA MUHONGO AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI TPDC

Posted on Sep 16, 2012 | No Comments

Waziri wa nishati na madini Mhe Profesa Sospeter Muhongo akiongea wakati wa uzinduzi wa bodi ya wakurugenzi ya shirika la maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC)uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam  jijini Dar es salaam jana.
Baadhi ya wajumbe wa bodi na wakurugenzi wakiwa katika mkutano huo leo.
Waziri wa nishati na madini Mhe Profesa Sospeter Muhongo akiwa kwenye picha ya pamoja na bodi ya wakurugenzi mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi huo

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru