photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > SALIM SAID BAKHRESA AMETAJWA NA JARIDA LA FORBES KUWA MIONGONI MWA MATAJIRI KUMI BARANI AFRIKA

SALIM SAID BAKHRESA AMETAJWA NA JARIDA LA FORBES KUWA MIONGONI MWA MATAJIRI KUMI BARANI AFRIKA

Posted on Sep 16, 2012 | No Comments




Utajiri wa Mtanzania huyu watikisa mabilionea Afrika

MFANYABIASHARA maarufu Tanzania, Salim Said Bakhresa ametajwa na Jarida la Forbes kuwa ni miongoni mwa matajiri kumi wenye utajiri mkubwa barani Afrika. Jarida hilo la kimataifa limetoa orodha ya mabilionea 40 kutoka Bara la Afrika mwaka huu na kuwataja wafanyabiashara 10, wanaoweza kuingia katika orodha hiyo ya mabilionea wakati wowote, akiwamo Bakhresa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru