photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > TANZANIA NA UHOLANZI ZASAINI MKATABA WA SHILINGI BILIONI 33 WA KUSAMBAZA UMEME.

TANZANIA NA UHOLANZI ZASAINI MKATABA WA SHILINGI BILIONI 33 WA KUSAMBAZA UMEME.

Posted on Sep 14, 2012 | No Comments

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya mpango wa kusambaza umeme katika wilaya ya Ngara, Biharamulo na Mpando baada ya kusaini msaada na Balozi wa Uholanzi Dr. Ad Koekkoek (kulia) wa kuipatia Tanzania bilioni 33 za kusambaza umeme katika Wiaya hizo hasa maeneo ya vijijini.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akimsindikiza Balozi wa Uholanzi Dr. Ad Koekkoek (kulia) jijini Dar es salaam mara baada ya kumalizi kusaini mkataba wa msaada wa bilioni 33 za kusaidia usambzaji wa umeme katika Wilaya ya Mpanda, Ngara na Biharamulo.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru