TANZANIA NA UHOLANZI ZASAINI MKATABA WA SHILINGI BILIONI 33 WA KUSAMBAZA UMEME.
                              Posted on 
                              Sep 14, 2012
                            |
                            
                                  No Comments
                                  

 Katibu  Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akitoa ufafanuzi juu  ya mpango wa kusambaza umeme katika wilaya ya Ngara, Biharamulo na  Mpando baada ya kusaini msaada na Balozi wa Uholanzi Dr. Ad Koekkoek  (kulia) wa kuipatia Tanzania bilioni 33 za kusambaza umeme katika Wiaya  hizo hasa maeneo ya vijijini.

 Katibu  Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akimsindikiza Balozi  wa Uholanzi Dr. Ad Koekkoek (kulia) jijini Dar es salaam mara baada ya  kumalizi kusaini mkataba wa msaada wa bilioni 33 za kusaidia usambzaji  wa umeme katika Wilaya ya Mpanda, Ngara na Biharamulo.
 
 
 
 
 
 
 
 
