BREAKING NEWS; RPC MWANZA LIBERATUS BARLOW AUAWA
Posted on
Oct 12, 2012
|
No Comments
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Mwandamizi wa Polisi
(SACP) Liberatus Barlow ameuawa usiku wa kuamkia leo katika tukio
linalohusishwa na ujambazi.
Taarifa kutoka Mwanza ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini zinasema kuwa Kamanda Barlow aliuawa baada ya kumrudisha dada yake kutoka katika kikao cha harusi ya ndugu yao huko Kitangili.
Hata hivyo, taarifa hizo bado hazijaweza kuchunguzwa na vyombo vya habari.

Marehemu Kamanda Barlow
Taarifa zaidi tutawapatia…
Taarifa kutoka Mwanza ambazo zimethibitishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini zinasema kuwa Kamanda Barlow aliuawa baada ya kumrudisha dada yake kutoka katika kikao cha harusi ya ndugu yao huko Kitangili.
Hata hivyo, taarifa hizo bado hazijaweza kuchunguzwa na vyombo vya habari.

Marehemu Kamanda Barlow
Taarifa zaidi tutawapatia…
