photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > JENGO LA TANESCO NA FLYOVERS, WHICH ONE`S MORE IMPORTANT?.

JENGO LA TANESCO NA FLYOVERS, WHICH ONE`S MORE IMPORTANT?.

Posted on Oct 14, 2012 | No Comments


WAJEMENI, hivi kuvunja lile jengo la Tanesco pale ubungo tukajenga flyovers ya uhakika itakayorahisisha barabara zote nne zinazokutana pale ubungo mataa, na kubaki na jengo lile bila flyovers na kukiwa na foleni ya ajabu vilevile, kipi chenye maana zaidi kwa nchi yetu? kipi kinaleta hasara zaidi kuliko kingine? je?, kubaki na lile jengo lakini watu wanachelewa maofisini kutoka mbezi,kimara etc na mabasi au magari yanayoelekea mkoani etc watu wanafika maofisini kwa kuchelewa hivyo wamepunguza mda wa kufanya kazi na kuendeleza nchi...kipi chenya faida kuliko kingine?...si nasikia magufuli alikataliwa hoja yake ya kubomoa lile jengo ili zijengwe flyover pale?..kwani lile jengo lina garama gani ambayo tunailinda ambayo hatutakuwa tumecompensate indirectly tukijenga flyover pale?

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru