photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > YANGA 1-0 TOTO AFRICANS

YANGA 1-0 TOTO AFRICANS

Posted on Mar 9, 2013 | No Comments



Yanga imezidi kujichimbia kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Toto africans ya Mwanza. Bao pekee la Yanga limefungwa na Nizar Khalifan katika dakika ya 79. Katika matokeo mengine Azam imetoshana nguvu na Polisi Morogoro kwa sare ya 1-1

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru