photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > ROGER FEDERER ASHINDA TAJI LA WIMBLEDON KWA MARA YA 7.

ROGER FEDERER ASHINDA TAJI LA WIMBLEDON KWA MARA YA 7.

Posted on Jul 9, 2012 | No Comments


Roger Federer amefanikiwa kumshinda  Andy Murray kutoka Uingereza kwa seti  4-6, 7-5, 6-3, 6-4 katka mchuano mkali wa fainali uliopigwa mjiniLondon.
Ushindi huo umewavuja moyo waingereza ambao ndio wenyeji wa mashindano hayo baada ya kushindwa kutwaa tajihilotangu mwaka 1936 alipolitwaa Fred Perry.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru