photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > SIMBA SC VS PORTS YA DIJBOUT MATUKIO KATIKA PICHA..

SIMBA SC VS PORTS YA DIJBOUT MATUKIO KATIKA PICHA..

Posted on Jul 18, 2012 | No Comments

Mpira Uwanja wa Taifa ni mapumziko na hadi sasa mabingwa wa Tanzania Simba Sports Club hawajafungana na Ports ya Djibouti
Dakika ya 60: Goal: Abdallah Juma anaipatia Simba bado la kwanza.
Dakika ya 64: Goal: Felix Sunzu anafunga penati baada ya Mwinyi Kazimoto kufanyiwa madhambi. Simba 2-0 Ports.
 
 Hatimaye mnyama ameunguruma uwanja wa Taifa na kutinga robo fainali. Simba wameifunga Ports ya Djibouti mabao matatu kwa bila huku Abdallah Juma (Pichani) akiibuka shujaa wa mchezo. Hongera sana Wana-Msimbazi

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru