Askari 746 wa Jeshi la Magereza wahitimu mafunzo ya uongozi daraja la kwanza Kiwira Mbeya
Posted on
Jun 5, 2012
|
No Comments
Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania Augustino Nanyaro akiangalia gwalide la wahitimu hao wa mafunzo ya uongozi |
| Kikosi cha Bendera kikipita mbele ya Kamishna wa magereza |
| Wakipita kwa ukakamafu mbele ya kamishana wa magereza |
| Kikosi cha kareti kikionyesha umahili wake mbele ya kamishna wa magereza |
| Kamishina akikagua gwaride la wahitimu wa kozi ya uongozi |
| Wahitimu wa kozi ya uongozi wakimunyesha kamishna wao juu ya kucheza ngoma ya muganda Askari 746 wa Jeshi la Magereza nchini wamehitimu mafunzo ya uongozi daraja la kwanza (NCO`S) kozi namba 19 katika chuo cha Kiwira- Rungwe mkoani Mbeya ambapo kamishina Jenerali wa jeshi la magereza Tanzania Augustino Nanyaro aliwatunuku vyeo koplo baadhi na masajenti.. |
