photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> BALOZI WA JAPANI NCHINI ATEMBELEA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

BALOZI WA JAPANI NCHINI ATEMBELEA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

Posted on Jun 30, 2012 | No Comments

Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha, Dkt. Richard Masika(kulia) akisalimiana na Balozi wa Japan nchini, Mhe. Masaki Okada kabla ya Kutembelea maeneo mbalimbali ya Chuo
Balozi wa Japani nchini,Mhe. Masaki Okadaakiangalia mandhari ya chuo hicho wakati alipotembelea chuoni hapo

Balozi wa Japani nchini,Mhe. Masaki Okada akipokea Maelezo kuhusu Ujenzi wa Maabara ya upimaji maji na Udongo kutoka kwa Mkuu wa Chuo, Dkt. Ricahrd Masika
Balozi akiwa katika Karakana ya Mitambo

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru