photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> Million 10 kufanya collabo na Diamond..

Million 10 kufanya collabo na Diamond..

Posted on Jun 1, 2012 | No Comments


Hili limenishitua baada ya kumsikia Diamond ndani ya Clouds FM akisema anaanza kutoza fedha kwa kila atakae taka collabo(kumshirikisha) na yeye..
Si vibaya..
Lakini kiasi cha fedha alichokitaja kwa msanii asiejuana naye ni Tshs, 10million
mdau huyo ndiye Diamond tunaye amini ataufikisha mbali mziki huu!!..
Wewe unalipi la kuongea kuhusu hili, tusemezane!.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru