photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MKUTANO WA JUMUIYA YA WASTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZANZIBAR

MKUTANO WA JUMUIYA YA WASTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZANZIBAR

Posted on Jun 28, 2012 | No Comments

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar Mohd Ali Mwalim huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akiwahutubia wastaafu wa Jumuiya ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein wakatikati akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wastaafu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano wa Jumuiya hio Bwawani Mjini Zanzibar.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru