NDOA NDOANO..
Posted on
Jun 30, 2012
|
No Comments
HUYU NDIYE ANAAMINIKA KUWA MKE MTARAJIWA WA BOB JUNIOUR
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Rais wa lebo ya Sharobaro Records ya jijini Dar es Salaam, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ kufunga pingu za maisha..
EXCLUSIVE ya bongokwetu ilinyaka picha kwenye mtandao mmoja TZ za mtu ambae anatarajia kua mke halali wa bob junior SHAROBARO...
mtandao huo umeandika kua ni HALIMA ALLY ambae ni mcheza filam amecheza filam kadhaa hapa TZ kama Laptop. Diplomatic, Hard Time, Tell the truth na nyenginezo..
Pia HALIMA alishawahi kununukulia na mtandao mwengne kua kwa sasa ana mtu na hataki kusumbuliwa lkn kwa kipindi hicho hakuwahi kumtaja...
source: ujanatz blog.

