Warembo wa Redds Miss World Tanzania 2012 waingia Kambini
Posted on
Jun 13, 2012
|
No Comments
Washiriki wa shindano la Redds Miss World Tanzania 2012 wakiwa kwenye kambi yao iliyopo kwenye Hotel ya Kitalii ya Giraffe jijini Dar Es Salaam tayari kwa shindano lao la jumamosi hii kumpata mwakilishi wa Taifa.
Warembo wakifurahia kuingia kambini
Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert Makoye (kulia) na Miss Tanzania 2011, Salha Israel wakiwakaribisha warembo hao kambini hii leo.
