YANGA WAKIJIFUA UFUKWENI JANA ASUBUHI
Posted on
Jun 24, 2012
|
No Comments
Kifaa kipya cha Yanga, Kelvi Yondani
Mshambuliaji mpya wa Yanga, Simon Msuva (mbele) akiwaongoza wenzake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye fukwe za Coco jijini Dar es Salaam jana. Wanaomfuatia ni beki mpya wa klabu hiyo, Kelvin Yondani na Godfrey Taita. (Picha zote na Mpiga
Nurdin Bakari akijifua.
Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa katika mazoezi.
Nizar Khalfan akiwa katika mazoezi na timu yake mpya ya Yanga katika ufukwe wa Coco Oysterbay jijini Dar es salaam.
