photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > KUTOKA VIWANJA VYA SABASABA..

KUTOKA VIWANJA VYA SABASABA..

Posted on Jul 3, 2012 | No Comments

Vodacom ndani ya maonyesho ya saba saba

 Mteja aliejitokeza katika maonesho ya sabasaba akipata maelezo ya namna ya kutumia simu ya ZTE 502 pia iliyokuwa na muda wa maongezi wa shilingi elf 6000 na kuuzwa kwa shilingi elfu 13 ikiwa ni ofa maalum katika maonesho hayo ya sabasaba.
Wakala wa Vodacom M PESA akitoa huduma ya M- PESA kwa mteja alietembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es. Kampuni ya Vodacom Inashiriki katika maonesho hayo kama mdhamini rasmi wa mawasiliano.
 

Tanzania Medical Equipment wawakaribisha bandani kwao Saba Saba


Wauzaji wa vifaa mbalimbali vya mahospitalini Tanzania Medical Equipment wanawakaribisha wadau na watanzania kwa ujumla pamoja na wageni mbalimbali kutembelea banda lao lilipo katika Maonesho haya ya kimataifa ya Biashara Dar es Salaam yanayoendeleo katika viwanja vya Mwal. JK Nyerere barabara ya Kilwa au maarufu Saba Saba.

Tanzania Medical Equipment wapo Banda la Ali Hassan Mwinyi na wana vifaa mbalimbali kwaajili yako wewe na mahitaji ya Hopitali au Zahanati yako.

 

 Wateja wa Airtel Sabasaba waendelea kujizolea zawadi viwanja vya Sabasaba


Airtel ilivyojipanga na zawadi kwaajili ya wateja wake wanaonunua bidhaa mbali mbali na kulipia kwa njia ya Airtel money. ukinunua bidhaa katikakijiji cha Airtel, banda la Windhoek, hupata kuponi ambazo baadae huzungushwa na huibuka washindi wa kati ya zawadi hizo zikiwemo simu za mkononi aina ya sumsung, Modem yenye kasi ya 3.75G pamoja na shilingi 2,000 kwa jumla ya wateja 60 kwa siku

 

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru