KUTOKA VIWANJA VYA SABASABA..
Posted on
Jul 3, 2012
|
No Comments
Vodacom ndani ya maonyesho ya saba saba
Mteja aliejitokeza katika maonesho ya sabasaba akipata maelezo ya namna ya kutumia simu ya ZTE 502 pia iliyokuwa na muda wa maongezi wa shilingi elf 6000 na kuuzwa kwa shilingi elfu 13 ikiwa ni ofa maalum katika maonesho hayo ya sabasaba.
Wakala wa Vodacom M PESA akitoa huduma ya M- PESA kwa mteja alietembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es. Kampuni ya Vodacom Inashiriki katika maonesho hayo kama mdhamini rasmi wa mawasiliano.
Tanzania Medical Equipment wawakaribisha bandani kwao Saba Saba
Wauzaji wa vifaa mbalimbali vya mahospitalini Tanzania Medical Equipment wanawakaribisha wadau na watanzania kwa ujumla pamoja na wageni mbalimbali kutembelea banda lao lilipo katika Maonesho haya ya kimataifa ya Biashara Dar es Salaam yanayoendeleo katika viwanja vya Mwal. JK Nyerere barabara ya Kilwa au maarufu Saba Saba.
Tanzania Medical Equipment wapo Banda la Ali Hassan Mwinyi na wana vifaa mbalimbali kwaajili yako wewe na mahitaji ya Hopitali au Zahanati yako.

