photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > YANGA YAWAFUNGA MABINGWA WA UGANDA.

YANGA YAWAFUNGA MABINGWA WA UGANDA.

Posted on Jul 1, 2012 | No Comments

Sehemu ya mashabiki waliojitokeza kushuhudia mpambano huo.
Kikosi cha kwanza cha Yanga kilichoanza kucheza jana.
 Wachezaji wa akiba.
Jerry Tegete akishangilia baada ya kufunga bao.
Beki mpya wa Yanga aliyetokea Simba hivi karibuni, Kelvin Yondani, akimzunguka Torachi Brain.
Daktari wa Yanga, Juma Sufian, akimtibu Said Bahanuz huku akisaidiwa na watoa msaada wa Msalaba Mwekundu.
Mabingwa wa Kombe la Kagame, Yanga ya Dar es Salaam jana iliichapa timu ya The Express ya Uganda mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa jana Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hiyo ndiyo mabingwa wa Ligi Kuu ya nchini humo. Katika mechi hiyo Yanga ilichezesha wachezaji wake wapya.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru