CHAMA CHA SIASA CHA ADC CHAKABIDHIWA USAJIRI WA KUDUMU
Posted on
Aug 29, 2012
|
No Comments


Mwekiti wa Chama cha ADC Bw.Said Miraji katikati akiongea na wanachama wake mara baada ya kukabidhiwa cheti cha kudumu na John Tendwa msajili wa vyama vya siasa Tanzania jana baada ya kutimiza masharti alioyoopewa. ambapo kilipatiwa usajili wa muda tarehe 26 machi 2012 (kulia) ni katibu mkuu wa chama cha (ADC) Bw Kadawi Lucas(kushoto)Mwanachama wa chama FORD Bw.Ramadhani Mohamedi.

