CHUO KIKUU HURIA CHAZINDUA NEMBO YAKE YA SHEREHE ZA MIAKA 20
Posted on
Aug 1, 2012
|
No Comments

Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr John Samwel Malecela akikata utepe
kuashiria uzinduzi wa nembo Maalum ya kuadhimisha miaka ishirini ya
Chuo kikuu huria cha Tanzania ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika
kituo kipya cha Chuo kikuu huria Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es
salaam.
kuashiria uzinduzi wa nembo Maalum ya kuadhimisha miaka ishirini ya
Chuo kikuu huria cha Tanzania ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika
kituo kipya cha Chuo kikuu huria Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es
salaam.

Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr John Samwel Malecela wakwanza kushoto
akiwa kwenye picha ya pamoja na na baadhi ya Viongozi wa chuo hicho.
akiwa kwenye picha ya pamoja na na baadhi ya Viongozi wa chuo hicho.