WABUNGE KAMATI YA NISHATI WAKUFURU
Posted on
Aug 1, 2012
|
No Comments
Wanautajiri wa kufa mtu
1. Yupo anayemiliki magorofa
2. Wengine magari ya kukodi, Vituo vya Petroli
3. Wapo pia wenye Zabni za Mafuta migodini
4. Wengine wana makampuni ya tours
Nalinauliza wamezipataje mali hizi kwani wengi wao wameingia bungeni Juzi tuu hata awamu moja ya miaka 5 bado hawajamaliza.
Uhuru limekuwa ni gazeti la kwanza TZ wabunge kuwataja kwa majina wabunge wanaounda kamati hiyo kuwa ni:
Selemani Zedi (MWenyekiti)
Diana Chilolo (makamu Mw/kiti)
Haji Khamisi
Catherini Magige
Abia Nyabakari
Charles Mwijage
Yusuph Nassir
Christopher Ole Sendeka
Dr. Festus Limbu
Eng. Athuman Mfutakamba
Lucy Mayenga
Josephine Changula
Mwanamrisho Taratibu
Suleimani Nchambi
Ally Mbarouk Salim
Vicky Kamata
Kisyeri Chambiri
Sarah Msafiri
Munde Tambwe
John Mnyika
Mariam Kisangi
Haya sasa Juzi Tundu Lissu alitaja baadhi ya wabunge wanaoihujumu Tanesco la jana alitakiwa kutoa maelezo kwenye kamati inaofuatilia sakata hili tuone Mbivu na mbichi kati ya hawa nani hasa inaihujumu Tanesco?
Kama Uhuru Kongwe la Chama chama cha CCM limechoka nalo kuwaficha wanaoihujumu Tanesco najiuliza habari hii nayo si ni kama ile tuu ililoliponza MWanahalisi? BAsi nalo Lifungiwe.