photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MWAFUNZI WA UDOM KATIKA EPIQ BONGO STAR SEARCH DODOMA

MWAFUNZI WA UDOM KATIKA EPIQ BONGO STAR SEARCH DODOMA

Posted on Aug 11, 2012 | No Comments

Huyu ni Rosemary Mpangala, ana miaka 21 na ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma aka UDOM na yuko kwenye tano bora kutoka Dodoma! Pindi tulivyokuwa tunaongea naye tuligundua kuwa yeye ni msichana mwenye malengo, hajaja Epiq Bongo Star Search kwa ajili ya mauzo, amekuja kufanya kazi na kujiendeleza kimuziki. Amejipanga, anajiamini na ameFUNGUKA!

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru