TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2012 LARINDIMA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA USIKU HUU
                              Posted on 
                              Sep 15, 2012
                            |
                            
                                  No Comments
                                  

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema  Nchimbi akitangaza namba ya mshindi wa bahati nasibu ya gari aina ya  Toyota Virtz  aliyejishindia gari hilo katika droo ya tamasha la  Serengeti Fiesta 2012 mkoani Dodoma kwenye tamasha la lililofanyika  katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu, aliyeshika kompyuta ni  Meneja masoko wa kampuni ya Push Mobile Rugambo Rodney, kulia ni Mkuu wa  wilaya ya Dodoma Lephy Gembe na wa pili kutoka kulia ni mwakilishi wa  bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Humud.
Katika tamasha hilo wasanii  mbalimbali wanatumbuiza katika tamasha hilo kubwa  baada ya matamasha  mengine kama hayo katika mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Mwanza, Shinyanga,  Mara, Tabora, Singida na sasa leo mkoani Dodoma.

Waigizaji wa filamu wakielezea uwezo wao katika kusakata muziki kutopka kulia ni Jacob Steven JB, Wema Sepetu, na Aunt Ezekikel.
 Wema Sepetu akinyonga viuono mbele ya mashabiki wa tamasha la Serengeti Fiesta uuwanja wa  mjini Jamhuri Dodoma
Wema Sepetu akinyonga viuono mbele ya mashabiki wa tamasha la Serengeti Fiesta uuwanja wa  mjini Jamhuri Dodoma  Aunt Ezekiel akimwaga mauno yake lanini mbewle ya mashabiki
Aunt Ezekiel akimwaga mauno yake lanini mbewle ya mashabiki Raymond Kigosi Ray akifanya vitu vyake katika kusakata mayenu.
Raymond Kigosi Ray akifanya vitu vyake katika kusakata mayenu. Mashabiki wakiwashangilia waigizaji hao wakati wakionyesha mambo yao jukwaani.
Mashabiki wakiwashangilia waigizaji hao wakati wakionyesha mambo yao jukwaani.
Shetah msanii wa muziki wa kizazi  kipya bongofleva akifanya vitu vyake jukwaani katika tamasha la  Serengeti Fiesta 2012 linalofanyika usiku huu kwenye uwanja wa Jamhuri  mjini Dodoma,
 Msanii  Richa Mavoko akionyesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la Serengeti  Fiesta linalofanyika musiku huu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Msanii  Richa Mavoko akionyesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la Serengeti  Fiesta linalofanyika musiku huu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Richa Mavoko akiwaimbisha mashabiki wake
Richa Mavoko akiwaimbisha mashabiki wake Mtangazaji  wa kituo cha rediao cha Clouds FM Gea Habib akiwa pamoja na wadau  wengine wa fiesta kwenye uwanja wa jamhuri usiku huu katika tamasha la  Serengeti Fiesta 2012.
Mtangazaji  wa kituo cha rediao cha Clouds FM Gea Habib akiwa pamoja na wadau  wengine wa fiesta kwenye uwanja wa jamhuri usiku huu katika tamasha la  Serengeti Fiesta 2012. Msanii Linah akiimba katika tamasha la Serengeti Fiesta kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu.
Msanii Linah akiimba katika tamasha la Serengeti Fiesta kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu. Msanii  w a muziki wa kizazi kipya Bongofleva Ommy Dimpoz akifanya vitu vyake  kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 katika uwanja wa Jamhuri Mjini  Dodoma usiku huu
Msanii  w a muziki wa kizazi kipya Bongofleva Ommy Dimpoz akifanya vitu vyake  kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 katika uwanja wa Jamhuri Mjini  Dodoma usiku huu  Rachel na mmoja wa wanenguaji wake jukwaani.
Rachel na mmoja wa wanenguaji wake jukwaani. Mashabiki wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
Mashabiki wakiwa wamefurika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Msanii Young Killer akionyesha uwezo wake mbele ya mashabiki kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu.
Msanii Young Killer akionyesha uwezo wake mbele ya mashabiki kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma usiku huu. Msanii  Diana akiwa amebebwa juu juu na wacheza shoo wake katika tamasha la  Serengeti Fiesta 2012 mjini Dodoma  katika uwanja wa Jamhuri.
Msanii  Diana akiwa amebebwa juu juu na wacheza shoo wake katika tamasha la  Serengeti Fiesta 2012 mjini Dodoma  katika uwanja wa Jamhuri. 
 
 
 
 
 
 
 
