photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > TASWIRA ZA VURUGU ZILIVYOTOKEA WAKATI WA UPIGAJI KURA JIMBO LA BUBUBU ZANZIBAR

TASWIRA ZA VURUGU ZILIVYOTOKEA WAKATI WA UPIGAJI KURA JIMBO LA BUBUBU ZANZIBAR

Posted on Sep 17, 2012 | No Comments

Kumekuwa na vurugu za hapa na pale, Polisi kupambana na vijana kwenye kituo cha kupigia kura wakati wa uchaguzi mdogo kumchagua Mwakilishi wa jimbo la Bububu Zanzibar jana. 
   Polisi wa kuzuia ghasai wakijaribu kuwadhibiti baadhi ya vijana waiokuwa karibu na kituo cha upigaji kura
   Polisi wa kutuliza ghasia wakiwa katika doria eneo la Bububu
  Askari za Kutuliza Ghasia (FFU) akiwa amemweka chini ya ulinzi kijana mmoja wakati wa zoezi ya kuhesbu kura katika jimbo la Bububu
 Kijana akitumbukiza kura yake kwenye kisanduku cha kupigia kura jwenye kituo cha Shule ya Bububu Zanzibar
 Kiongozi wa chama cha siasa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari nje ya kituo cha kupigia kura jana.
   Mawakala wa vyama tofauti vilivyoshiriki katika uchaguzi wa bububu wakifuatilia kwa makini maendeleo ya zoezi hilo
Kumekuwa na vurugu za hapa na pale, Polisi kupambana na vijana kwenye kituo cha kupigia kura wakati wa  uchaguzi mdogo kumchagua Mwakilishi wa jimbo la Bububu Zanzibar jana. (pichani) Polisi wa kuzuia ghasia wakisaidiwa na kikosi cha Valantia  kuwaondoa vijana   waliojikusanya karibu na kituo cha kupigia kura  kwenye  Shule ya Bububu.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru