photo NAAZ_zpsd0bbd510copy_zps37715af5.jpg
 photo NAAZ_zpsd0bbd510.jpg
Nafasi Ya Matangazo
> > MMILIKI WA LAKE PRINTING AUWAWA JIJINI MWANZA

MMILIKI WA LAKE PRINTING AUWAWA JIJINI MWANZA

Posted on Nov 18, 2012 | No Comments


Mmiliki wa kiwanda cha kalatasi lake priting maarufu kwa jina la mama chande.kauwawa na watu wanaosemekana majambazi jana jioni muda wa saa kumi.nyumbani kwake maeneo ya kauma.majambazi walimuua na kuacha wamemufungia chumbani kwake alikuwa hakiishi peke yake. Mmoja wa wafanyakazi wake anasema bossi wake huyo. Hakuonekana kuanzia sa tisa unusu ilipofika saa 12 jioni ambapo sio kawaida alianza kupiga simu ikiita bila kujibiwa ilipo fika saa 2 ucku alilipoti polisi baada ya polisi kufika ndio walipo amua kuvuja mlango na kukuta marehemu kauwawa katobolewa macho na kuvunjwa mkono. Alikuwa hakiishi palepale kiwandani kwake kiwanda kikiwa chini yeye golofani
 R.I.P Mama chande

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru